Enrolment options

MLS6241: Uchakataji wa Lugha na Utumizi katika Elimu
Semester 2

Moduli hii ni inahusu Uchakataji wa lugha na utumizi katika Kiswahili. Ni moduli inayozingatia vipengele mbalimbali vinavyohusiana na maswala ya lugha kwa kuchunguza hali na mbinu za menejimenti ya lugha, uhusiano kati ya lugha na akili pamoja na mchakato wa lugha unaoathiri ujifunzji na ufundishaji wake.  Aidha, moduli hii inalenga kumwezesha mwanafunzi kushiriki katika mijadala mbalimbali kuhusu Menejimenti ya lugha, na matumizi ya lugha katika elimu. Vilevile, moduli hii itamwezesha pia kupendekeza masuluhisho kwa masuala mengi yanayohusiana na upangaji lugha kwa kuchunguza uhusiano uliopo kati ya lugha na fikra, na lugha na Tekinolojia ya kisasa ambapo nafasi yake katika ujifunzaji na ufundishaji wa lugha itachunguzwa. Hivyo, Moduli hii itazingatia vipengele muhimu vifuatavyo : Upataji na ujifunzaji lugha Upangaji lugha, Lugha na fikra pamoja na Isimu Kokotozi.

Guests cannot access this course. Please log in.
Accessibility

Background Colour Background Colour

Font Face Font Face

Font Kerning Font Kerning

Font Size Font Size

1

Image Visibility Image Visibility

Letter Spacing Letter Spacing

0

Line Height Line Height

1.2

Link Highlight Link Highlight

Text Alignment Text Alignment

Text Colour Text Colour